Habari za Punde

Rais Samia Suluhu Hassan azungumza na Wananchi wa Masasi Mkoani Mtwara

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi pamoja na Wananchi wa Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja Bomani tarehe 17 Septemba, 2023.

Viongozi mbalimbali wakiwa kwenye mkutano wa hadhara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan uliofanyika kwenye uwanja Bomani, Masasi Mkoani Mtwara tarehe 17 Septemba, 2023.

Viongozi mbalimbali wakiwa kwenye mkutano wa hadhara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan uliofanyika kwenye uwanja Bomani, Masasi Mkoani Mtwara tarehe 17 Septemba, 2023.

Wananchi wa Masasi wakiwa kwenye shamrashamra za kumpokea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Bomani, Masasi Mkoani Mtwara tarehe 17 Septemba, 2023.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.