Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa pamoja na Waziri wa
Kilimo Mhe. Hussein Bashe kuashiria uwekaji wa jiwe la Msingi Ujenzi wa
Miundombinu ya umwagiliaji katika Shamba la Mbegu Kilimi, Nzega Mkoani Tabora
tarehe 18 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza mara baada ya kuweka jiwe la
Msingi Ujenzi wa Miundombinu ya umwagiliaji katika Shamba la Mbegu Kilimi,
Nzega Mkoani Tabora
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein
Bashe wakati akielezea kuhusu chanzo cha Maji katika Shamba la Mbegu Kilimi,
Nzega Mkoani Tabora
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein
Bashe wakati akielezea kuhusu mradi wa Skimu ya umwagiliaji pamoja na
uzalishaji wa Mbegu bora za mazao ya Kilimo katika Shamba la Mbegu Kilimi Nzega
Mkoani Tabora
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiangalia Mbegu bora za mazao ya Kilimo katika Shamba la Mbegu Kilimi, Nzega Mkoani Tabora.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein
Bashe wakati wakitoka kukagua chanzo cha Maji katika Shamba la Mbegu Kilimi,
Nzega Mkoani Tabora
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein
Bashe wakati akielezea kuhusu chanzo cha Maji katika Shamba la Mbegu Kilimi,
Nzega Mkoani Tabora.
Miundombinu ya Umwagiliaji
katika Shamba la Mbegu lililopo Kilimi, Nzega Mkoani Tabora Miundombinu ya Umwagiliaji
katika Shamba la Mbegu lililopo Kilimi, Nzega Mkoani Tabora.
No comments:
Post a Comment