Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Amiri wa Taifa la Qatar Mhe. Sheikh Tamim Bin Hamad Al-Than wa pili kutoka kushoto kwake pamoja na viongozi wengine wa Mataifa mbalimbali wakati wakimwagilia miti maji kuashiria ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa wa Kilimo cha Mbogamboga na Matunda (Doha International Horticulture Expo 2023) uliofanyika Doha tarehe 02 Oktoba, 2023
DKT.SERERA:SERIKALI ITAENDELEA KUISAIDIA FCC KUKABILIANA NA CHANGAMOTO ZA
UDHIBITI WA BIDHAA BANDIA
-
*Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani
Serera,akizungumza leo, Oktoba 16, 2025, wakati wa ziara ya pamoja kati ya
Menejimen...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment