Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Amiri wa Taifa la Qatar Mhe. Sheikh Tamim Bin Hamad Al-Than wa pili kutoka kushoto kwake pamoja na viongozi wengine wa Mataifa mbalimbali wakati wakimwagilia miti maji kuashiria ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa wa Kilimo cha Mbogamboga na Matunda (Doha International Horticulture Expo 2023) uliofanyika Doha tarehe 02 Oktoba, 2023
KAMATI YA BUNGE YA VIWANDA, BIASHARA, KILIMO NA MIFUGO YASHAURI WIZARA
KUSAIDIAJUHUDI ZA MKOA WA MOROGORO.
-
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imeelekeza
Wizara ya Mifugo na Wizara ya Kilimo kuona namna ya kuisaidia Kamati hiyo
kuusi...
14 minutes ago
.jpg)
0 Comments