Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Amiri wa Taifa la Qatar Mhe. Sheikh Tamim Bin Hamad Al-Than wa pili kutoka kushoto kwake pamoja na viongozi wengine wa Mataifa mbalimbali wakati wakimwagilia miti maji kuashiria ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa wa Kilimo cha Mbogamboga na Matunda (Doha International Horticulture Expo 2023) uliofanyika Doha tarehe 02 Oktoba, 2023
Uzinduzi wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Tiketi ya Chama Cha
ADA-TADEA Viwanja vya Magirisi Wilaya ya Magharibi "B" Unguja
-
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Chama Cha ADA -TADEA Mhe. Juma Ali Khatib
(kulia )akikabidhiwa Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2025 ya Chama hicho,
wakati wa U...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment