Muonekano
wa Majengo ya Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora
tarehe 17 Oktoba, 2023.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Hassan Wakasuvi mara baada ya
kuwasili katika Chuo cha VETA cha Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora tarehe 17
Oktoba, 2023.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiangalia vikundi
vya ngoma za asili mara baada ya kuwasili katika Chuo cha VETA cha Wilaya ya
Igunga Mkoani Tabora tarehe 17 Oktoba, 2023.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiangalia vikundi
vya ngoma za asili mara baada ya kuwasili katika Chuo cha VETA cha Wilaya ya
Igunga Mkoani Tabora tarehe 17 Oktoba, 2023.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akicheza pamoja na
Kwaya ya Watoto wa Shule ya Msingi Majengo mara baada ya kuwasili katika Chuo
cha VETA cha Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora tarehe 17 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akizungumza na viongozi mara baada ya kuweka jiwe la Msingi Ujenzi wa Chuo cha
VETA cha Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora tarehe 17 Oktoba, 2023.
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment