Habari za Punde

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika katika kuitikia dua ya kumombea Muandishi wa Habari Muandamizi Mstafu wa Shirika la Utangazaji Zanzibar ( ZBC) na Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Kanda ya Zanzibar Ndg.Haji Ramadhan Suweid, ikisomwa na Katibu Mtendaji Ofisi ya Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Khalid Ali Mfaume,alipofika Hospitali ya Kuu ya Mnazi Mmoja jengo la Mapinduzi Mpya kumjulia hali yake, leo 13-10-2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsalimia Muandishi wa Habari Muandamizi Mstaafu wa Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC) na Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Kanda ya Zanzibar Ndg.Haji Ramadhan Suweid, alipofika Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja Zanzibar jengo la Mapinduzi Mpya kumjulia hali yake leo 13-10-2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kumjulia hali Mzee wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Bw. Kombo Mzee Kombo alipofika nyumbani kwake Miembeni Jitini Wilaya ya Mjini Unguja kumjulia hali yake leo 13-10-2023, ikiwa ni utaratibu aliojiwekea kuwatembelea Wazee
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kumjulia hali Mzee wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Bw. Kombo Mzee Kombo alipofika nyumbani kwake Miembeni Jitini Wilaya ya Mjini Unguja kumjulia hali yake leo 13-10-2023, ikiwa ni utaratibu aliojiwekea kuwatembelea Wazee
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsalimia na kuzungumza na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi (CCM) Tawi la Muembeshauri na Balozi No.2 wa CCM.  Bi. Hiyari Miraji Othman, alipofika nyumbani kwake muembeshauri Wilaya ya Mjini Unguja leo.13-10-2023, kumjulia hali yake .
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.