Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), leo, amemuaga Rais wa Sudan Kusini, ambaye pia ni Mweyekiti Mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Mhe. Salva Kiir, katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro, baada ya kushiriki Mkutano wa 23 wa Viongozi Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, uliofanyika katika Hoteli ya Ngurdoto, Mkoani Arusha 24 Novemba 2023, ambapo alikabidhiwa rasmi uenyekiti wa Jumuiya hiyo kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Burundi, Mhe. Evariste Ndayishimiye.
SACP NGOLE AKAGUA MIFUMO YA KIUSALAMA KATIKA MGODI WA ANGLO - SONGWE.
-
Mkuu wa Kitengo cha Usalama wa Miundombinu Muhimu Kamishna Msaidizi
Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Ngole kutoka Makao Makuu ya Polisi
Dodoma amekagua ...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment