Habari za Punde

Rais Samia Suluhu Hassan ahutubia katika hafla ya utoaji Tuzo za Rais kwa Wazalishaji Bora nchini (PMAYA), Masaki Jijini Dar es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitoa Tuzo kwa mmoja wa Mshindi Kampuni ya TCC wakati wa hafla ya utoaji Tuzo za Rais kwa Wazalishaji Bora nchini (PMAYA) iliyofanyika katika ukumbi wa Super Dome, Masaki Jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitoa Tuzo kwa Mshindi wa jumla Kampuni ya Tanzania Breweries (TBL) wakati wa hafla ya utoaji Tuzo za Rais kwa Wazalishaji Bora nchini (PMAYA) iliyofanyika katika ukumbi wa Super Dome, Masaki Jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo ya Heshima kutoka kwa Mwenyekiti wa Shirikisho la Wenye Viwanda Tanzania (CTI) Paul Makanza wakati wa hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Super Dome, Masaki Jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitoa Tuzo kwa mmoja wa Mshindi Kampuni ya TotalEnergies wakati wa hafla ya utoaji Tuzo za Rais kwa Wazalishaji Bora nchini (PMAYA) iliyofanyika katika ukumbi wa Super Dome, Masaki Jijini Dar es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi, wafanyabiashara pamoja na wageni mbalimbali wakati wa hafla ya utoaji Tuzo za Rais kwa Wazalishaji Bora nchini (PMAYA) iliyofanyika katika ukumbi wa Super Dome, Masaki Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Desemba, 2023.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.