Mkuu wa Chuo cha City College Ilala Dar es Salaam Ndg. Shaban akimkabidhi zawadi ya shilingi laki mbili mchezaji mwenye nidhamu katika Mchezo wa Mapinduzi Cup 2023/2024 kutoka Timu ya Jamhuri wakati wa mchezo wao na Timu ya Yanga uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar Timu ya Yanga imeshinda kwa bao 5-0.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhtmLq6pU8IJASz9jPQcq4QSTQ4q5qnF_tOygCmeQkvvVosFOejAgpa0ed1mYuJ365eEObodVwxIRaIqkZTE8xvT2rHsZbotYi1mwYKpkz-NY_va7UibUnsDhdQqhihS9aZ8M650wk6PqxwHkibHaMY1T4YCwXKRoV0ltCm6dcCiJOCKCW6tq3wiI-V3bk/w640-h426/01f36094-9f7f-4eec-a17e-6930080a76b2.jpg)
Mkuu wa Chuo cha City College Ilala Dar es Salaam Ndg. Shaban akimkabidhi zawadi ya shilingi laki mbili mchezaji mwenye nidhamu katika Mchezo wa Mapinduzi Cup 2023/2024 kutoka Timu ya KVZ Salum Athuman, wakati wa mchezo wao na Timu ya Jamus mchezo huo umetoka sare ya mabao 1-1, uliochezwa katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar. ![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhtmLq6pU8IJASz9jPQcq4QSTQ4q5qnF_tOygCmeQkvvVosFOejAgpa0ed1mYuJ365eEObodVwxIRaIqkZTE8xvT2rHsZbotYi1mwYKpkz-NY_va7UibUnsDhdQqhihS9aZ8M650wk6PqxwHkibHaMY1T4YCwXKRoV0ltCm6dcCiJOCKCW6tq3wiI-V3bk/w640-h426/01f36094-9f7f-4eec-a17e-6930080a76b2.jpg)
No comments:
Post a Comment