Habari za Punde

City College of Health Ilala Dar es Salaam Yabidhi Zawadi kwa Wachezaji Mwenye Nidhamu Michuano ya Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024 Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar

Mkuu wa Chuo cha City College Ilala Dar es Salaam Ndg. Shaban akimkabidhi zawadi ya shilingi laki mbili mchezaji mwenye nidhamu katika Mchezo wa Mapinduzi Cup 2023/2024 kutoka Timu ya Jamhuri wakati wa mchezo wao na Timu ya Yanga uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar Timu ya Yanga imeshinda kwa bao 5-0. 
Mkuu wa Chuo cha City College Ilala Dar es Salaam Ndg. Shaban akimkabidhi zawadi ya shilingi laki mbili mchezaji mwenye nidhamu katika Mchezo wa Mapinduzi Cup 2023/2024 kutoka Timu ya KVZ Salum Athuman, wakati wa mchezo wao na Timu ya Jamus mchezo huo umetoka sare ya mabao 1-1, uliochezwa katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar. 
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.