Mkuu wa Chuo cha City College Ilala Dar es Salaam Ndg. Shaban akimkabidhi zawadi ya shilingi laki mbili mchezaji mwenye nidhamu katika Mchezo wa Mapinduzi Cup 2023/2024 kutoka Timu ya Jamhuri wakati wa mchezo wao na Timu ya Yanga uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar Timu ya Yanga imeshinda kwa bao 5-0.
Mkuu wa Chuo cha City College Ilala Dar es Salaam Ndg. Shaban akimkabidhi zawadi ya shilingi laki mbili mchezaji mwenye nidhamu katika Mchezo wa Mapinduzi Cup 2023/2024 kutoka Timu ya KVZ Salum Athuman, wakati wa mchezo wao na Timu ya Jamus mchezo huo umetoka sare ya mabao 1-1, uliochezwa katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar.
MWENYEKITI WA CCM DKT. SAMIA AONGOZA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU CCM TAIFA
DODOMA
-
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 17 Januari 2025, ameongoza
Kikao c...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment