Mkurugenzi Mkuu wa City College of Health Shaban Mwanga akimkabidhi fedha taslimu mchezaji Mwenye Nidhamu beki wa Timu ya Yanga Mkude katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup Dhidi ya Timu ya KVZ mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar.Katima mchezo huo timu hizo zimetoka sara ya bila kufungana.
NIDA YARUHUSU NDUGU JAMAA KUCHUKULIANA KITAMBULISHO CHA TAIFA, YAWATOA HOFU
WANANCHI KUFUNGIWA NAMBA
-
Mkurugenzi Mkuu wa NIDA, James Kaji akizungumza na waandishi wa habari
jijini Dar es Salaam leo Januari 21,2025. kuhusiana na masuala mbalimbali
ya Vitam...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment