Mkurugenzi Mkuu wa City College of Health Shaban Mwanga akimkabidhi fedha taslimu mchezaji Mwenye Nidhamu beki wa Timu ya Yanga Mkude katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup Dhidi ya Timu ya KVZ mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar.Katima mchezo huo timu hizo zimetoka sara ya bila kufungana.  
UTHAMINI WA FIDIA MRADI WA SGR KIPANDE CHA SITA TABORA-KIGOMA WAENDELEA KWA 
KASI
                      -
                    
Na Munir Shemweta, WANMM 
Zoezi la uthamini maeneo yatakayopitiwa na ujenzi wa Mradi wa Reli ya 
Kisasa SGR kipande cha 6 kutoka Tabora hadi Kigoma linaen...
18 hours ago



No comments:
Post a Comment