Mkurugenzi Mkuu wa City College of Health Shaban Mwanga akimkabidhi fedha taslimu mchezaji Mwenye Nidhamu beki wa Timu ya Yanga Mkude katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup Dhidi ya Timu ya KVZ mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar.Katima mchezo huo timu hizo zimetoka sara ya bila kufungana.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment