Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisikiliza maelezo
kuhusu kazi mbalimbali zinazofanywa katika Kiwanda cha Karafuu cha Indesso
Aroma nchini Indonesia wakati alipohitimisha ziara yake tarehe 26 Januari,
2024. Kiwanda hicho kikubwa kinatengeneza bidhaa mbalimbali kutokana na
malighafi ya zao hilo la Karafuu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisikiliza maelezo
kuhusu kazi mbalimbali zinazofanywa katika Kiwanda cha Karafuu cha Indesso
Aroma nchini Indonesia wakati alipohitimisha ziara yake tarehe 26 Januari,
2024. Kiwanda hicho kikubwa kinatengeneza bidhaa mbalimbali kutokana na
malighafi ya zao hilo la Karafuu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisikiliza maelezo
kuhusu kazi mbalimbali zinazofanywa katika Kiwanda cha Karafuu cha Indesso
Aroma nchini Indonesia wakati alipohitimisha ziara yake tarehe 26 Januari,
2024. Kiwanda hicho kikubwa kinatengeneza bidhaa mbalimbali kutokana na
malighafi ya zao hilo la Karafuu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisikiliza maelezo
kuhusu kazi mbalimbali zinazofanywa katika Kiwanda cha Karafuu cha Indesso
Aroma nchini Indonesia wakati alipohitimisha ziara yake tarehe 26 Januari,
2024. Kiwanda hicho kikubwa kinatengeneza bidhaa mbalimbali kutokana na
malighafi ya zao hilo la Karafuu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisikiliza maelezo
kuhusu kazi mbalimbali zinazofanywa katika Kiwanda cha Karafuu cha Indesso
Aroma nchini Indonesia wakati alipohitimisha ziara yake tarehe 26 Januari,
2024. Kiwanda hicho kikubwa kinatengeneza bidhaa mbalimbali kutokana na
malighafi ya zao hilo la Karafuu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika
Mashariki Mhe. Januari Makamba, Waziri wa Nchi,
Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Profesa Kitila Mkumbo pamoja na viongozi
wengine wakifuatilia wasilisho la historia ya Kiwanda cha Karafuu cha Indesso Aroma
nchini Indonesia wakati akihitimisha ziara yake nchini humo tarehe 26 Januari,
2024.
No comments:
Post a Comment