Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip
Mpango na Mkewe Mama Mbonimpaye Mpango wamemtembelea na kumjulia hali Waziri
Mkuu Mstaafu Mhe. Cleopa David Msuya
katika Makazi yake Upanga Jijini Dar es salaam tarehe 31 Januari 2024.
No comments:
Post a Comment