Habari za Punde

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Philip Mpango Amefungua Mkutano wa Magonjwa ya Moyo Zanzibar

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD) Bw.Mavere Tukai wakati alipotembelea banda la taasisi hiyo katika Mkutano wa Kimataifa wa  Magonjwa ya Moyo unaofanyika katika Ukumbi wa Golden Tulip Airport – Unguja, Zanzibar.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge wakati alipotembelea banda la taasisi hiyo katika Mkutano wa Kimataifa wa Magonjwa ya Moyo unaofanyika katika Ukumbi wa Golden Tulip Airport – Unguja, Zanzibar. 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa na viongozi mbalimbali wakiwasili katika Ukumbi wa Golden Tulip Airport – Unguja, Zanzibar wakati wa Ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa wa Magonjwa ya Moyo 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwaongoza kuimba wimbo wa Taifa washiriki wa Mkutano wa Kimataifa wa Magonjwa ya Moyo unaofanyika katika Ukumbi wa Golden Tulip Airport – Unguja, Zanzibar. 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akimkabidhi tuzo Muuguzi Kiongozi wa Kwanza wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Bi. Salome Kassanga wakati wa Ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa wa Magonjwa ya Moyo unaofanyika katika Ukumbi wa Golden Tulip Airport – Unguja, Zanzibar. 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akihutubia wakati wa Ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa wa Magonjwa ya Moyo unaofanyika katika Ukumbi wa Golden Tulip Airport – Unguja, Zanzibar. 



No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.