Habari za Punde

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan Azungumza na Waziri Mkuu wa Norway Mhe.Jonas Gahr Støre Jijini Oslo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri Mkuu wa Norway Mhe. Jonas Gahr Støre Jijini Oslo tarehe 14 Februari, 2014.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan pamoja na ujumbe wake katika mazungumzo na Waziri Mkuu wa Norway Mhe. Jonas Gahr Støre Jijini Oslo. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na Mfalme Harald V wa Norway wakati wa hafla ya chakula cha mchana kilichoandaliwa na Waziri Mkuu wa nchi hiyo Mhe. Jonas Gahr Støre Jijini Oslo 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza kwenye hafla ya chakula cha mchana kilichoandaliwa na Waziri Mkuu wa Norway Mhe. Jonas Gahr Støre Jijini Oslo tarehe 14 Februari, 2014.

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.