RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalum na Mwenyekiti wa
Jumuiya ya Wafanyabiashara Zanzibar (ZNCC) Ndg. Ali Amour na (kushoto kwake)
Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said,
baada ya kuufungua Mkutano Mkuu wa Jumuiya hiyo uliyofanyika katika ukumbi wa
Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B”
Unguja Jijini Zanzibar leo 19-2-2024 na (kulia kwa Rais) Waziri wa Biashara na
Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Mhe. Omar Said Shaban.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuufungua Mkutano Mkuu wa 15 wa Jumuiya
ya Wafanyabiasha Zanzibar (ZNCC)
uliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege
Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 19-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuufungua Mkutano Mkuu wa 15 wa Jumuiya
ya Wafanyabiasha Zanzibar (ZNCC)
uliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege
Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 19-2024
WAZIRI wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda
Zanzibar Mhe.Omar Said Shaban akizungumza kabla ya kumkaribiaha mgeni rasmin
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi, kuufungua Mkutano Mkuu wa 15 wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Zanzibar
(ZNCC) uliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege
Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 19-2-2024
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa 15 wa Jumuiya ya
Wafanyabiashara Zanzibar (ZNCC) na Wageni waalikwa wakimsikiliza Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo
pichani) akihutubia na kuufungua Mkutano huo uliyofanyika katika ukumbi wa
Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B”
Unguja Jijini Zanzibar leo 19-2-2024
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa 15 wa Jumuiya ya
Wafanyabiashara Zanzibar (ZNCC) na Wageni waalikwa wakimsikiliza Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo
pichani) akihutubia na kuufungua Mkutano huo uliyofanyika katika ukumbi wa
Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B”
Unguja Jijini Zanzibar leo 19-2-2024
MKURUGENZI Mtendaji wa Jumuiya ya
Wafanyabiashara Zanzibar (ZNCC) Ndg. Hamad Hamad akizungumza wakati wa ufunguzi
wa Mkutano Mkuu wa 15 wa Jumuiya hiyo uliyofunguliwa na Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, katika ukumbi wa
Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B”
Unguja Jijini Zanzibar leo 19-2-2024
MKURUGENZI Mtendaji wa Benki ya Tanzania
Commercial Bank Ndg. Adam Charles Mihayo akizungumza na kutowa maelezo ya
huduma zinazotolewa na Benki ya TCB kwa Wafanyabiasha, wakati wa hafla ya
ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa 15 wa Jumuiya ya Wafanyabiashara (ZNCC) uliyofunguliwa
na Rais wa Zabnzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi,katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki
Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 19-2-2024.
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wafanyabiashara
Zanzibar (ZNCC) Ndg. Ali Amour akizungumza na kutowa maelezo ya mafanikio ya
Jumuiya hiyo wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa 15 ya Jumuiya hiyo,
uliyofunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa
Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo
19-2-2024.
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa 15 wa Jumuiya ya
Wafanyabiashara Zanzibar (ZNCC) na Wageni waalikwa wakimsikiliza Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo
pichani) akihutubia na kuufungua Mkutano huo uliyofanyika katika ukumbi wa
Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B”
Unguja Jijini Zanzibar leo 19-2-2024
No comments:
Post a Comment