Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Amefanya Ziara Kutembelea Soko la Jumbi Wilaya ya Magharibi B Unguja leo

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wafanyabiashara wa Soko la Jumbi Wilaya ya Magharibi “B” Unguja, wakati wa ziara yake kutembelea Soko hilo leo 26-2-2024, kuangalia hali ya bei za bidhaa katika soko, tukielekea katika kipindi cha mwezi mtukufu wa Ramadhan
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wafanyabiashara wa Soko la Jumbi Wilaya ya Magharibi “B” Unguja, wakati wa ziara yake kutembelea Soko hilo leo 26-2-2024, kuangalia hali ya bei za bidhaa katika soko, tukielekea katika kipindi cha mwezi mtukufu wa Ramadhan
WAFANYABIASHARA wa Soko la Jumla na Rejereja  Jumbi Wilaya ya ya Magharibi “B” Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi ( hayupo pichani) akizungumza na Wafanyabiashara wa Soko hilo wakati wa ziara yake iliyofanyika leo 26-2-2024, kukagua mwendendo wa bei za bidhaa katika soko hilo
WAFANYABIASHARA wa Soko la Jumbi Wilaya ya Magharibi “B” Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wafanyiashara ya Soko hilo wakati wa ziara yake, iliyofanyika leo 26-2-2024, kuangalia bei za bidhaa mbalimbali katika soko hilo na changamoto za wafanyabiashara
WAFANYABIASHARA wa Soko la Jumbi Wilaya ya Magharibi “B” Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wafanyiashara ya Soko hilo wakati wa ziara yake, iliyofanyika leo 26-2-2024, kuangalia bei za bidhaa mbalimbali katika soko hilo na changamoto za wafanyabiashara
WAFANYABIASHARA wa Soko la Jumla na Rejereja  Jumbi Wilaya ya ya Magharibi “B” Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi ( hayupo pichani) akizungumza na Wafanyabiashara wa Soko hilo wakati wa ziara yake iliyofanyika leo 26-2-2024, kukagua mwendendo wa bei za bidhaa katika soko hilo
WAFANYABIASHARA wa Soko la Jumbi Wilaya ya Magharibi “B” Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wafanyiashara ya Soko hilo wakati wa ziara yake, iliyofanyika leo 26-2-2024, kuangalia bei za bidhaa mbalimbali katika soko hilo na changamoto za wafanyabiashara
MFANYABIASHARA katika Soko la Jumbi Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Maryam Gaspal, akizungumza wakati wa ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, iliyofanyika leo 26-2-2024, kukagua bei za bidhaa katika soko hilo na changamoto za wafanyabiashara hao
MFANYABIASHARA katika Soko la Jumbi Wilaya ya Magharibi “B” Unguja  akizungumza na kutowa maoni,  wakati wa ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, iliyofanyika leo 26-2-2024, kukagua bei za bidhaa katika soko hilo na changamoto za wafanyabiashara hao.


 WAFANYABIASHARA wa Soko la Jumbi Wilaya ya Magharibi “B” Unguja wakishangilia wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia wakati wa ziara yake kutembelea Soko hilo na kukagua bei za bidhaa mbalimbali, iliyofanyika leo 26-2-2024.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.