RAIS wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi
akisalimiana na Alhajj Ahmad Al falasi , alipowasili katika viwanja vya
Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja kuhudhuria Futari iliyoandaliwa na Alhajj
Alfalasi katika ukumbi wa hote hiyo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wananchi wa Zanzibar katika futari maalum iliyoandaliwa na Alhajj Ahmad Al falasi (kulia kwa Rais) iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar jana 20-3-2024 na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazrui na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar KabiRAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kutowa shukrani kwa
waandalizi wa futari maalumu iliyoandaliwa na Alhajj Ahmad Al falasi kwa
Wananchi wa Zanzibar, iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip
Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar
jana 20-3-2024.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wananchi na Viongozi
katika kuitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zazibar, Sheikh Saleh Omar Kabi
baada ya kumalizika kwa futari maalum iliyoandaliwa na Alhajj Ahmad Al falasi
(kulia kwa Rais) na Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Hassan Khamis Hafidh,
iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege
Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar jana 20-3-2024 na
(kushoto kwa Rais) Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazrui.
No comments:
Post a Comment