Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Amezindua Rasmin Sherehe za Maadhimisho ya Miaki 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar Viwanja vya Maonesho ya Biashara Nyamazi Dimani Ndambani Wilaya ya Magharibi "B" Unguja leo 14-4-2024

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Serikali alipowasili katika viwanja vya Nyamazi Dimani Ndambani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja, kwa ajili ya Uzinduzi Rasmin wa  Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 60 ya Muungano wa  Tanganyika na Zanzibar, uliofanyika leo 14-4-2024 katika viwanja hivyo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi , wakimsikiliza Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Cyprian Luhemeja, wakati akitembelea banda la maoneshe la Wizara ya Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, wakati wa Uzinduzi wa Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, yanayofanyika katika viwanja vya maonesho vya Nyamanzi Dimani Ndambani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 14-4-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalum na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe.Dkt. Selemani Jafo, baada ya kutembelea baanda la maonesho la Ofisi hiyo wakati wa uzinduzi wa Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 60 ya Muungano wa Tanganika na Zanzibar, yanayofanyika katika viwanja vya Maonesho vya Nyamazi Dimani Ndambani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 14-4-2024

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud, wakimsikiliza Afisa Masoko na Uhusiano wa Mfuko wa Huduma za Afya Zanzibar (ZHSF) Asha Kassim Biwii,wakati akitembelea banda la maoneshe la (ZHSF) wakati wa Uzinduzi wa Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, yanayofanyika katika viwanja vya maonesho vya Nyamanzi Dimani Ndambani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 14-4-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi na (kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla,wakimsikiliza Katibu Msaidizi wa Tume ya Pamoja ya Fedha (JFC) Jonas Nduttu, wakati akitembelea banda la maoneshe la (JFC) wakati wa Uzinduzi wa Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, yanayofanyika katika viwanja vya maonesho vya Nyamanzi Dimani Ndambani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 14-4-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akimsikiliza Mkurugenzi wa (BOT) Tawi la Zanzibar Camillus Kombe,wakati akitembelea banda la maonesho la (BOT) katika viwanja vya Maonesho Nyamanzi Dimani Ndambani Wilaya ya Magharibi “B”, wakati wa Uzinduzi wa Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla na (kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe.Dkt. Selemani Jafo na Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe.Zuberi Ali Maulid.14-4-2024.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akimsikiliza Katibu Mkuu Wizara ya Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Fatma Mabrouk Khamis ,wakati akitembelea banda la maonesho la Wizara hiyo katika viwanja vya Maonesho Nyamanzi Dimani Ndambani Wilaya ya Magharibi “B”, Unguja, wakati wa Uzinduzi wa Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe.Ayoub Mohammed Mahmoud.14-4-2024



WASANII wa Kikundi cha Idara za SMZ wakitowa burudani ya Ngoma ya Kibati,wakati wa Uzinduzi wa Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, yaliyofanyika katika Viwanja vya Maonesho vya Nyamanzi Dimani Ndambani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja, uzinduzi huo uliyofanyika leo 14-4-2024
WASANII wa Kikundi cha Ngoma ya Kiumbizi kutoka Pijini Pemba,wakitowa burudani wakati wa Uzinduzi wa Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, uliyofanyika leo 14-4-2024 katika viwanja vya Maonesho Nyamanzi Dimani Ndimbani Wilaya ya Maghaeribi “B” Unguja.


WASANII wa Kikundi cha Ngoma ya Kiumbizi kutoka Pijini Pemba,wakitowa burudani wakati wa Uzinduzi wa Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, uliyofanyika leo 14-4-2024 katika viwanja vya Maonesho Nyamanzi Dimani Ndimbani Wilaya ya Maghaeribi “B” Unguja.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika viwanja vya Maonesho vya Nyamanzi Dimani Ndambani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja, na kuzindua rasmin Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, uliofanyika leo 14-4-2024.
WANANCHI wa Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika viwanja vya Maonesho vya Nyamanzi Dimani Ndambani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja, wakati wa Uzinduzi wa Maadhimsho ya Sherehe za Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, uzinduzi huo uliyofanyika leo 14-4-2024.
WANANCHI wa Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika viwanja vya Maonesho vya Nyamanzi Dimani Ndambani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja, wakati wa Uzinduzi wa Maadhimsho ya Sherehe za Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, uzinduzi huo uliyofanyika leo 14-4-2024.
 VIJANA wa Chama Cha Mapinduzi wakishangilia wakati wa Uzinduzi wa Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, uzinduzi huo uliofanyika katika viwanja vya Maonesho Nyamanzi Dimani Ndambani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 14-4-2024




No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.