MUONEKANO wa jengo jipya la Skuli ya Msingi ya Hamid Ameir Donge Mkoa wa
Kaskazini Unguja, iliyofunguliwa leo
17-4-2024 na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, ikiwa ni shamrashamra za sherehe za Maadhimisho ya
Miaki 60 ya Muungano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akisalimiana na Mkuu wa Mkoa Kaskazini Unguja Mhe. Rashid Hadid Rashid,
alipowasili katika viwanja vya Skuli ya Msingi ya Hamid Ameir kwa ajili ya
ufunguzi wa jengo jipya la Skuli hiyo,
ikiwa ni shamrashamra za sherehe za
Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hafla
hiyo iliyofanyika leo 17-4-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akielekea katika eneo la uwekaji wa Jiwe la Msingi la Ufunguzi wa Skuli ya Msingi ya Hamid Ameir Donge, baada ya kukamilika ujenzi wake, akiwa na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Ali Abdulgulam Hussein alipowasili katika viwanja vya Skuli hiyo kwa ajili ya
ufunguzi wa jengo jipya la Skuli hiyo,
ikiwa ni shamrashamra za sherehe za
Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hafla
hiyo iliyofanyika leo 17-4-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiondoa pazia kuashiria kuweka Jiwe la
Msingi la Ufunguzi wa Skuli ya Msingi ya Hamid Ameir Donge Mkoa wa Kaskazini
Unguja, ikiwa ni shamrashamra za Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa
Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na Mwakilishi wa Jimbo la Donge pia ni Waziri wa
Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar Mhe.Dkt. Khalid Salum Mohammed,
uzinduzi huo uliyofanyika leo 17-4-2024.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiondoa pazia kuashiria kuweka Jiwe la
Msingi la Skuli ya Msingi ya Hamid Ameir Donge Mkoa wa Kaskazini Unguja, ikiwa
ni shamrashamra za Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania na (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam
Mwinyi, uzinduzi huo uliyofanyika leo 17-4-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi na Naibu
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Ali Abdulgulam Hussein katika
moja ya Darasa la Skuli ya Msingi ya Hamid Amier Donge Mkoa wa Kaskazini
Unguja, baada ya kuifungua Skuli hiyo, uzinduzi huo uliofanyika leo 17-4-2024,
ikiwa ni shamrashamra za sherehe za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasalimia Wanafunzi wa Skuli ya Msingi Donge, baada ya kulifungua Jengo Jipya la Skuli ya Msingi ya Hamid Ameir Donge, Mkoa wa Kaskazini
Unguja, uzinduzi huo uliofanyika leo 17-4-2024,
ikiwa ni shamrashamra za sherehe za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi na Naibu
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Ali Abdulgulam Hussein katika
moja ya Darasa la Skuli ya Msingi ya Hamid Amier Donge Mkoa wa Kaskazini
Unguja, baada ya kuifungua Skuli hiyo, uzinduzi huo uliofanyika leo 17-4-2024,
ikiwa ni shamrashamra za sherehe za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano wa Jamhuri
ya Muungano wa TanzaniaRAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akihutubia baada ya ufunguzi wa jengo
jipya la Skuli ya Msingi ya Hamid Ameir Donge Mkoa wa Kaskazini Unguja leo
17-4-2024, ikiwa ni shamrashamra za sherehe za Maadhimisho ya Miaka 60 ya
Muungano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akihutubia baada ya ufunguzi wa jengo
jipya la Skuli ya Msingi ya Hamid Ameir Donge Mkoa wa Kaskazini Unguja leo
17-4-2024, ikiwa ni shamrashamra za sherehe za Maadhimisho ya Miaka 60 ya
Muungano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
WANAFUNZI wa Skuli ya Msingi Donge wakimsikiliza
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
(hayupo pichani) akihutubia baada ya kulifungua jengo jipya la Skuli ya Msingi
ya Hamid Ameir Donge Mkoa wa Kaskazini Unguja, ufunguzi huo uliyofanyika leo
17-4-2024, ikiwa ni shamrashamra za sherehe za Maadhimisho ya Miaka 60 ya
Muungano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
WANANCHI Kijiji cha Donge Mkoa wa Kaskazini
Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia baada ya kuifungua Skuli
Mpya ya Msingi ya Hamid Ameir Donge leo 17-4-2024, ikiwa ni sherehe za shamrashamra
za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
WANANCHI Kijiji cha Donge Mkoa wa Kaskazini
Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia baada ya kuifungua Skuli
Mpya ya Msingi ya Hamid Ameir Donge leo 17-4-2024, ikiwa ni sherehe za shamrashamra
za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
WANAFUNZI wa Skuli ya Msingi Donge wakimsikiliza
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
(hayupo pichani) akihutubia baada ya kulifungua jengo jipya la Skuli ya Msingi
ya Hamid Ameir Donge Mkoa wa Kaskazini Unguja, ufunguzi huo uliyofanyika leo
17-4-2024, ikiwa ni shamrashamra za sherehe za Maadhimisho ya Miaka 60 ya
Muungano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
MWANANCHI wa Kijiji cha Donge Mkoa wa Kaskazini
Unguja akishangilia wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhew.Dk.Hussein Ali Mwinyi(hayupo pichani) akihutubia katika viwanja
vya Skuli ya Msingi ya Donge, baada ya Ufunguzi wa jengo jipya la Skuli ya
Msingi ya Hamid Ameir Donge leo 17-4-2024, ikiwa ni shamrashamra za sherehe za
Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
MWANANCHI wa Kijiji cha Donge Mkoa wa Kaskazini
Unguja akishangilia wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhew.Dk.Hussein Ali Mwinyi(hayupo pichani) akihutubia katika viwanja
vya Skuli ya Msingi ya Donge, baada ya Ufunguzi wa jengo jipya la Skuli ya
Msingi ya Hamid Ameir Donge leo 17-4-2024, ikiwa ni shamrashamra za sherehe za
Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
No comments:
Post a Comment