RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wananchi na Viongozi mbalimbali katika Sala ya Maiti ya Marehemu
Asha Simba Makwega Muasisi wa UWT pia aliwahi kuwa Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa
Mjini Magharibi Unguja na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Sala hiyo iliyoongozwa
na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi, iliyofanyika katika Msikiti
wa Maisara Wilaya ya Mjini Unguja na kuzikwa Kijijini kwao Pete Mkoa wa Kusini
Unguja leo 8-5-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wananchi na Viongozi mbalimbali katika kuitikia dua ikisomwa na
Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Mahmoud Mussa Wadi, ya kumuombea Marehemu
Asha Simba Makwega Muasisi wa UWT pia aliwahi kuwa Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa
Mjini Magharibi Unguja na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa,baada ya
kumlizika kwa Sala hiyo iliyofanyika,katika Msikiti wa Maisara Wilaya ya Mjini
Unguja na kuzikwa Kijijini kwao Pete Mkoa wa Kusini Unguja leo 8-5-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiweka udongo katika kaburi likiwa na
mwili wa marehemu Asha Simba Makwega, Muasisi wa UWT pia aliwahi kuwa
Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja na Mjumbe wa Halmashauri Kuu
ya CCM Taifa, wakati wa maziko yake yaliyofanyika kijijini kwao Pete Mkoa wa
Kusini Unguja leo 8-5-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kutowa mkono wa pole kwa
Wanafamilia ya Marehemu Asha Simba Makwega, baada ya kumalizika kwa maziko hayo
yaliyofanyika katika Kijiji cha Pete Mkoa wa Kusini Unguja leo 8-5-2024
No comments:
Post a Comment