RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha
Wazalishaji Sukari Tanzania (TSPA) Bw.Seif Ali Seif, alipowasili katika viwanja
vya Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini
Zanzibar leo 10-7-2024 kwa ajili ya ufunguzi wa Mkutano wa Wazalishaji Sukari
wa Nchi za SADC, na (kushoto kwake) Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda
Zanzibar Mhe.Omar Said Shaban.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Waziri wa Biashara na
Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Mhe.Omar Said Shaban na (kulia kwa Rais)
Mwenyekiti wa Chama cha Wazalishaji Sukari Tanzania (TSPA) Bw. Seif Ali Seif na (kushoto kwa Waziri)
Waziri wa Viwanda na Biashara Tanzania Mhe.Dkt. Seleman Jafo, alipowasili
katika viwanja vya Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini
Zanzibar leo 10-7-2024 kwa ajili ya ufunguzi wa Mkutano wa Wazalishaji Sukari
wa Nchi za SADC.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuufungua Mkutano wa
Wazalishaji wa Sukari katika Nchi SADC, ufunguzi huo uliyofanyika leo 10-7-2024
katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya
Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa TUZO Maalum na Mwenyekiti wa
Chama cha Wazalishaji Sukari Tanzania (TSPA)Bw.Seif Ali Seif, baada ya
kuufungua Mkutano wa Wazalishaji wa Sukari kwa Nchi za SADC, unaofanyika katika
ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya
Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 10-7-20214.
WASHIRIKI wa Mkutano wa Wazalishaji wa Sukari wa
Nchi za SADC, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kuufungua
mkutano huo leo 10-7-2024, uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip
Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar.
BAADHI ya Wakulima wa Miwa wakifuatilia ufunguzi
wa Mkutano wa Wazalishaji wa Sukari wa Nchi za SADC, wakati Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani)
akihutubia na kuufungua mkutano huo unaofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden
Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaji Jijini Zanzibar leo 10-7-2024.
WASHIRIKI wa Mkutano wa Wazalishaji wa Sukari wa
Nchi za SADC, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kuufungua
mkutano huo leo 10-7-2024, uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip
Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar
WASHIRIKI wa Mkutano wa Wazalishaji wa Sukari wa
Nchi za SADC, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kuufungua
mkutano huo leo 10-7-2024, uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip
Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar

No comments:
Post a Comment