Katibu
Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Cyprian Luhemeja (kulia) akizungumza na
baadhi ya wadau mara baada ya ufunguzi rasmi wa 29 wa Nchi wa Wananchama wa
Mkataba wa Mabadiliko ya Tabianchi (COP29) katika Ukumbi wa Nizami uliopo
katika viwanja vya Olympus Park, mjini Baku Jamhuri ya Azerbaijan, uliofunguliwa
leo Novemba 11, 2024 na kutarajiwa kuhitimishwa Novemba 22, 2024. Kushoto ni akiwa
Mkurugenzi Msaidizi wa Mabadiliko ya Tabianchi na Tathimini Ofisi ya Makamu wa
Rais Dkt. Kanizio Manyika.
UKATA, MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA CHANGAMOTO MPYA KWA WAANDISHI WA HABARI ZA
AFYA RIPOTI
-
IKIWA taarifa na elimu ni nyenzo muhimu ya kukabiliana na changamoto za
afya ripoti inaeleza waandishi wa habari za afya wanakumbwa na hali
inayofanya wasi...
49 minutes ago

0 Comments