RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akiondoa pazia kuweka Jiwe la
Msingi la Ufunguzi wa Kituo cha Kisasa cha Ukaguzi wa Vyombo vya Moto Dole Kwasilva,
Wilaya ya Magharibi “A” Unguja, ufunguzi huo uliyofanyika leo 11-2-2025.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akiondoa pazia kuweka Jiwe la
Msingi la Ufunguzi wa Kituo cha Kisasa cha Ukaguzi wa Vyombo vya Moto Dole Kwasilva,
Wilaya ya Magharibi “A” Unguja, ufunguzi huo uliyofanyika leo 11-2-2025.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kufungua Kituo cha Kisasa cha
Ukaguzi wa Vyombo vya Moto Dole Kwasilva, Wilaya ya Magharibi “A” Unguja,
ufunguzi huo uliyofanyika leo 11-2-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akimsikiliza Mratibu wa Mradi wa Kituo cha
Ukaguzi na upasishaji wa Gari Dole kwasilva Kim Lee, (kulia kwa Rais) baada ya
kukifungua Kituo hicho leo 11-2-2025 kilioko katika eneo la Dole Wilaya ya
Magharibi “A” Unguja na (kushoto kwa Rais) Naibu Waziri wa Ujenzi,Mawasiliano
na Uchukuzi Zanzibar Mhe. Nadir Abdullatif Yussuf Al-Wardy
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akimsikiliza Mratibu wa Mradi wa Kituo cha
Ukaguzi na upasishaji wa Gari Dole kwasilva Kim Lee, (kushoto kwa Rais) akitowa
maelezo ya mitambo ya ukaguzi na upasishaji wa gari katika Kituo hicho, baada
ya kukifungua leo 11-2-2025 kilioko
katika eneo la Dole Wilaya ya Magharibi “A” Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akimsikiliza Mratibu wa Mradi wa Kituo cha
Ukaguzi na upasishaji wa Gari Dole kwasilva Kim Lee, (kushoto kwa Rais) akitowa
maelezo ya mitambo ya ukaguzi na upasishaji wa gari katika Kituo hicho, baada
ya kukifungua leo 11-2-2025 kilioko
katika eneo la Dole Wilaya ya Magharibi “A” Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akitembelea Kituo cha Kisasa cha Ukaguzi
na Upasishaji wa Gari Dole kwasilva Wilaya ya Magharibi “A” Unguja, akimsikiliza Mratibu wa Mradi wa Kituo cha
Ukaguzi na upasishaji wa Gari Dole kwasilva Kim Lee, (kushoto kwa Rais) akitowa
maelezo na (kulia kwa Rais) Muwekezaji Mzalendo wa Kituo hicho cha Kisasa Mhe.
Toufiq Salim Turky. baada ya kukifungua leo 11-2-2025 kilioko katika eneo la Dole Wilaya ya
Magharibi “A” Unguja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya uzinduzi wa
Kituo cha Kisasa cha Ukaguzi na Upasishaji wa Gari Dole Kwasilva, uzunduzi huo
uliyofanyika leo 11-2-2025 katika eneo la Dole Wilaya ya Magharibi “A” Unguja.
BAADHI ya Wageni waalikwa na Wananchi
wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo Pichani) akihutubia wakati wa hafla ya
ufunguzi wa Kituo cha Kisasa cha Ukaguzi na Upasishaji wa Gari Dole Kwasilva
Wilaya ya Magharibi “A” Unguja, ufunguzi huo uliyofanyika leo 11-2-2025 katika
eneo la Dole
BAADHI ya Wageni waalikwa na Wananchi
wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo Pichani) akihutubia wakati wa hafla ya
ufunguzi wa Kituo cha Kisasa cha Ukaguzi na Upasishaji wa Gari Dole Kwasilva
Wilaya ya Magharibi “A” Unguja, ufunguzi huo uliyofanyika leo 11-2-2025 katika
eneo la Dole.
No comments:
Post a Comment