Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Husssein Mwinyi Amefungua Masjid Maghfirah Nungwi Bandakuu Kidimni Mkoa wa Kaskazini Unguja

 

MUONEKANI wa jengo la Masjid Al-Maghfirah Nungwi Bandakuu Kidimni Mkoa wa Kaskazini Unguja, uliyofunguliwa 26-2-2025 na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuufungua msikiti wa Masjid Maghfirah Nungwi Bandakuu Kidimni Mkoa wa Kaskazini Unguja 26-2-2025, na kujumuika na Wananchi katika Sala ya Adhuhuri iliyofanyika katika Masjid hiyo.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wananchi wa Nungwi, wakati wa hafla ya ufunguzi wa Masjid Maghfirah Nungwi Bandakuu Kidimni Mkoa wa Kaskazini Unguja, ufunguzi huo uliyofanyika  26-2-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wananchi wa Nungwi, wakati wa hafla ya ufunguzi wa Masjid Maghfirah Nungwi Bandakuu Kidimni Mkoa wa Kaskazini Unguja, ufunguzi huo uliyofanyika  26-2-2025.
WANANCHI wa Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza na kuwasalimia, baada ya ufunguzi na Sala ya adhuhuri iliyofanyika katika Masjid Maghfirah Nungwi Bandakuu Kidimni Mkoa wa Kaskazini Unguja uliofanyika  26-2-2025
WANANCHI wa Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza na kuwasalimia, baada ya ufunguzi na Sala ya adhuhuri iliyofanyika katika Masjid Maghfirah Nungwi Bandakuu Kidimni Mkoa wa Kaskazini Unguja uliofanyika 26-2-2025.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wananchi wa Nungwi katika kuitikia dua ikisomwa na Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Mahmoud Mussa Wadi(kushoto kwa Rais) baada ya kumalizika kwa hafla ya ufunguzi wa Masjid Maghfirah Nungwi Bandakuu Kidimni Mkoa wa Kaskazini Unguja 26-2-2025.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Watoto wa Nungwi, baada ya kumalizika kwa hafla ya ufunguzi wa Masjid Maghfirah Nungwi Bandakuu Kidimni Mkoa wa Kaskazini Unguja l26-2-2025.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.