Ù†
اللهم صّÙ„ِ وسَÙ„ّÙ…ْ عَÙ„Û“ِ Ù†َبِÙŠْÙ†َامُØَمد ï·º
Mbunge Mstaafu wa Jimbo la Mji Mkongwe (Malindi) (1995—2005) Maalim Muhammad Ibrahim Sanya ametangulia mbele ya haki.
Maziko kesho Jumanne (22/04/2025) Saa Nne Asubuh kwa Wanaume na Wanawake Saa Mbili asubuhi Mkunazini na kuzikwa makaburi ya Sunni Jamaat Kijitoupele, Zanzibar.
اللهم صّÙ„ِ وسَÙ„ّÙ…ْ عَÙ„Û“ِ Ù†َبِÙŠْÙ†َامُØَمد ï·º

0 Comments