6/recent/ticker-posts

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan Awahutubia Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Akiendelea na Mikutano yake ya Kampeni


Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambae pia ni Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi na WanaCCM, katika mkutano wake wa Kampeni uliyofanyika katika viwanja vya Mpira Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja, na kuombea Kura kwa Wananchi na kumuombea Mgombea Urais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi, Wabunge, Wawakilishi na Madiwani. 


















Post a Comment

0 Comments