Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambae pia ni Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi na WanaCCM, katika mkutano wake wa Kampeni uliyofanyika katika viwanja vya Mpira Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja, na kuombea Kura kwa Wananchi na kumuombea Mgombea Urais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi, Wabunge, Wawakilishi na Madiwani.
TANZANIA YANG’ARA TENA TUZO ZA DUNIA ZA UTALII 2025 – BAHRAIN
-
Na Mwandishi Wetu
TANZANIA imeendelea kuthibitisha ubora wake duniani baada ya kunyakua tuzo
kubwa za World Travel Awards ngazi ya Dunia, mara baada ya kun...
47 minutes ago




















0 Comments