Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza leo tarehe 16 Septemba 2025 alipokutana na makundi ya waendesha bodaboda, wakulima wa mazao ya viungo na wajasiriamali wa Shehia ya Mndo, Wilaya ya Magharibi "A" Unguja Mkoa wa Mjini Magharibi.
KESI YA LISSU YAAHIRISHWA HADI KIKAO KINGINE
-
MAHAKAMA Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imeahirisha kesi ya Mwenyekiti wa
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) hadi itakapopangiwa kikao
kingine (s...
8 hours ago







No comments:
Post a Comment