Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza leo tarehe 16 Septemba 2025 alipokutana na makundi ya waendesha bodaboda, wakulima wa mazao ya viungo na wajasiriamali wa Shehia ya Mndo, Wilaya ya Magharibi "A" Unguja Mkoa wa Mjini Magharibi.
TANZANIA YANG’ARA TENA TUZO ZA DUNIA ZA UTALII 2025 – BAHRAIN
-
Na Mwandishi Wetu
TANZANIA imeendelea kuthibitisha ubora wake duniani baada ya kunyakua tuzo
kubwa za World Travel Awards ngazi ya Dunia, mara baada ya kun...
1 hour ago






0 Comments