MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla akisalimiana na Mbunge na Mwakilishi wa Jimbo la Makunduchi Zanzibar Mhe. Haroun Ali Suleiman na Wanu Hafidh Ameir, alipowasili katika viwanja vya mpira Mtende kwa ajili ya kuzindua Kampeni za Majimbo ya Paje na Makunduchi ya Wilaya ya Kusini Kichana.
KESI YA LISSU YAAHIRISHWA HADI KIKAO KINGINE
-
MAHAKAMA Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imeahirisha kesi ya Mwenyekiti wa
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) hadi itakapopangiwa kikao
kingine (s...
8 hours ago



No comments:
Post a Comment