Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Bishop Michael wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Zanzibar mara baada ya kuwasilisha salamu zao za Rambi Rambi kwa Makamu wa Rais walipofika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Chukwani kulia. Katibu Mkuu wa Dayosisi Nuhu Sallanya.
Waziri wa Kilimo, Amefanya Mazungumzo na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,
Mipango na Uwekezaji
-
WAZIRI wa Kilimo, Mhe. Daniel Godfrey Chongolo (Mb) amefanya mazungumzo na
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Alexander
Mk...
6 hours ago
0 Comments