Rapa bora wa Extra bongo Kabatano (Kulia) akighani moja ya nyimbo zao bora huku akipewa sapoti na nguli wa muziki wa dansi Banza Stone mwana masanja wakati bendi hiyo ilipokuwa ikitumbuiza maeneo ya Sinza katika ukumbi wa Meeda jana usiku.
KAYA FOUNDATION YAKABIDHI VITI MWENDO, BIMA ZA AFYA KWA WATOTO WENYE ULEMAVU
-
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
Taasisi isiyo ya kiserikali, Kaya Foundation, imekabidhi msaada wa viti
mwendo vitano vilivyotolewa na Ubalozi wa Ufaran...
35 minutes ago



0 Comments