WAKATI skukuu ya Idd El fitr ikiwa imekaribia
wananchi na wafanyakazi mbali mbali, ambao wanapokelea mishahara yao Benki ya
watu wa Zanzibar (PBZ) Tawi la Chake Chake Pemba, wakiwa katika foleni kusubiri
kupatiwa huduma hiyo.(Picha na Abdi
Suleiman, PEMBA.)
Waziri Mkuu aagiza watumishi waliosababisha mifuko alfu moja kuganda,
wachukuliwe hatua
-
NA MASHAKA MHANDO, Handeni
WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba,
amemwagiza Katibu Mkuu Wizara ya elimu, sayansi na...
4 hours ago
0 Comments