MKUU wa Shirika la Magazeti ya Serikali ofisi ya Pemba, Bakari Mussa Juma akizungumza na wafanyakazi wa shirika hilo Ofisi ya Pemba, katika kikao maalumu cha kupanga mikakati mbali mbali ya kufanya kazi ili kuweza kuandika habari zinazoendana na soko la habari.(Picha Na Abdi Suleiman, PEMBA)
TRA MOROGORO YATUMIA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE KUTOA ELIMU YA KODI
-
NA FARIDA MANGUBE , MOROGORO
Katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, mamlaka ya mapatao Tanzania
(TRA) Mkoa wa Morogoro imetumia maadhimisho hayo kut...
4 hours ago
0 Comments