Wanafunzi waliosoma Chuo cha Marehemu Abdallah Chum Jangombe wakisoma dua kumuombea mwalimu wao na wanafunzi waliosoma chuo hicho wakisoma hitma kuwarahimu iliofanyika katika maeneo viwanja vya chuo hicho. Dua hiyo imehitimishwa na Kadhi Mkuu wa Zanzibar ni mmoja wa wanafunzi wa marehemu Sheikh Khamis Haji Khamis.
MIRADI SEKTA YA MAFUTA NA GESI ASILIA IKAMILIKE KWA WAKATI- DKT.MATARAGIO
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi Asilia,
Dkt. James Mataragio, ameitaka Menejimenti ya Shirika la Maendeleo ya
Petroli...
38 minutes ago
0 Comments