Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud akisalimiana na Mabalozi wa Tanzania wanaoiwakilisha Nchi za Nje wakiwasili katika Bandari ya Zanzibar kwa Boti ya Kampuni ya Azam ya Kilimanjaro kwa ziara Maalum kutembelea Zanzibar. kushoto Meya wa Manispa ya Zanzibar Mstahiki Meya Khatib Abdurahaman Khatib.
TANZANIA YATUMIA MICHUANO YA AFCON 2025 KUUZA MAZAO YA UTALII
-
Na mwandishi wetu, Morocco
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Hassan Chande (Mb), amesema
Tanzania inatumia fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (...
14 hours ago
0 Comments