Mgombea ubunge Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina akihakiki nyaraka muhimu kabla ya kurejesha fomu ya kuomba kuteuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kugombea Jimbo la Kisesa. wengine ni Katibu wa CCM Wilaya ya Meatu, Charles Mazuri kulia ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Meatu, Juma Mwiburi
Wagombea Ubunge wa Chama cha Mapinduzi Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina (kulia) na Leah Komanya Jimbo la Meatu (kushoto ) wakijaza fomu za Tume ya Uchaguzi kuomba kuteuluwa kugombea majimbo hayo kwa ajili ya uchaguzi mkuu mwaka huu.
Mgombea Ubunge Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina akizungumza na madiwani walioteuliwa na CCM kiugombea kwenye kata za Jimbo la Kisesa muda mfupi baada ya kujeresha fomu ya kugombea ubunge 2020.
JAB YAKEMEA UVUNJAJI WA SHERIA ZA AJIRA KATIKA SEKTA YA HABARI
-
*Na Mwandishi Wetu.*
*Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imewasisitiza waajiri kwenye
vyombo vya habari nchini kuzingatia kikamilifu masharti ya...
6 hours ago
0 Comments