Muonekano wa moja ya majengo Matano ya Ghorofa ya Mradi wa Mj Mpya wa Kahani Jijini Zanzibar yakiwa na jumla ya nyumba 71 yamefunguliwa leo 12/10/2020 na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein. na kuwakabidhi baadhi ya Wananchi Watatu funguo za Nyumba zao wakati wa hafla hiyo iliofanyika katika eneo la byumba hizo kwahani.
Serikali Yatajivunia Mafanikio ya Maboresho ya Bandari ya Dar es Salaam
Katika Siku 100 za Uongozi wa Rais Samia
-
Na Avila Kakingo, Michuzi Tv
MSEMAJI wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na
Michezo, Gerson Msigwa, amesema Serikali ya Awam...
8 hours ago
1 Comments
Asalmm alaikumm mim naomba no ya office zao hizi nyumba na piya je zinakodishuwa hizi nymba naomb jibu tafadhal
ReplyDelete