6/recent/ticker-posts

Wakulima wa Mwani Kisiwani Pemba Wabuni Mbinu ya Uanikaji wa Mwani.

Mkulima wa Mwani katika kijiji cha Makangale Wilaya ya Micheweni Kisiwani Pemba, sasa wamebuni mbinu mpya ya uwanikaji wa Zao hilo juu ya kamba, ili kuunusuru mwani huo kuingia michanga, vumbi na takataka pale wanapoanika chini, pichani mmoja ya wananchi wa kijiji hicho akianika mwani huo

BIDHAA ya Mwani ikiwa umeanikwa juu ya kamba kwa lengo la kunusuru kuingia uchafu, pale wanapouwanika chini ikizingatiwa mwani ni chakula kama ilivyo vyakula vyengine.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

Post a Comment

0 Comments