Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi leo baada ya ibada ya sala ya Ijumaa amemtembelea nyumbani kwake Bi.Khadija Abbas Rashid ambaye alishiriki katika tukio la kihistoria la kuchanganya udongo wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar tarehe 26/4/1964 anayeishi Rahaleo, Mkoa wa Mjini Magharibi.
TASAF YAJIVUNIA MAFANIKIO YALIYOPATIKANA KUPITA MRADI WA KUPUNGUZA
UMASIKINI AWAMU YA NNE
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV -Karatu
MKURUGENZI Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF) Shedrack Mziray
ametoa taarifa ya mafanikio ya Mradi wa Kupun...
1 hour ago

0 Comments