Mshambuliaji wa Timu ya Kundemba akimiliki mpira huku beki wa Timu ya Chipukizi akijiandaa kumzuiya wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Premier League 2023-2024 mchezo uliofanyika Uwanja wa Mao Zedung Jijini Zanzibar