Wapenzi wa Timu ya Kundemba wakihamasisha Timu yao wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Premier League 2023-2024 mchezo uliofanyika Uwanja wa Mao Zedong, katika mchezo huo timu ya Uhamiaji imeshinda kwa bao 1-0. 
Mfugaji wa Kuku Ajishindia Pikipiki Kupitia Bahati Nasibu ya PigaBet
-
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.
Mjasiriamali na mfugaji wa kuku kutoka Mapinga, Bagamoyo, Raphael Emmanuel,
amejishindia pikipiki kupitia promosheni ya...
1 hour ago
0 Comments