RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhi Kombe la Ubingwa wa Michuano ya
Muungano Cup kwa Nahodha wa Timu ya Simba Mohammed Hussein, baada ya kuifunga
Timu ya Azam katika mchezo wa Fainali uliyofanyika katika Uwanja wa New Amaan
Complex Zanzibar,Timu ya Simba imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Suleiman Abdulla awaongoza wateja, wadau
wa NBC kushiriki hafla ya futari Zanzibar
-
-Aipongeza NBC kwa Mchango wa Maendeleo Zanzibar.
Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Hemed
Suleiman Abdulla jana aliwaongoza ...
6 hours ago













0 Comments