Mwenyekiti Wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe.Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele, akikagua mafunzo kwa vitendo ya Waandishi wasaidizi na waendesha vifaa vya biometriki (BVR) kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya mkoani Mbeya leo Desemba 24, 2024. Mkoa wa Mbeya, Iringa na Halmashauri ya Mpwapwa Mkoani Dodoma inataraji kuanza uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Mpiga Kura Desemba 27 mwaka huu hadi Januari 02, 2025. (Picha na INEC).
SBL Yazindua Rasmi Serengeti Premium Apple, Kinywaji Ambacho Kimetengenezwa
Tanzania
-
Serengeti Breweries Limited (SBL) imezindua rasmi Serengeti Premium Apple,
ikiweka historia kama kinywaji cha kwanza chenye hadhi ya juu
‘Ready-to-Drink ...
8 hours ago
0 Comments