Mchezaji wa Timu ya African Magic Y. Abdi akiwa na mpira akijiandaa kumpita mchezaji wa Timu ya Kwerekwe Yankees A.Adil, wakati wa mchezo wao wa Kikapu Ligi Kanda ya Unguja mchezo uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedong.Timu ya African Magic imeshinda mchezo huo kwa Vikapi 75-49.
ASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI KWA KUMKATA VIDOLE MWANAFUNZI WA DARASA LA
NNE LUSHOTO
-
Na Oscar Assenga, LUSHOTO.
JESHI la Polisi Mkoa wa Tanga linamshikilia Mkazi wa Welei wilayani Lushoto
mkoani Tanga Isaka Clement Ngulizi kwa kosa la ku...
4 hours ago















0 Comments