6/recent/ticker-posts

DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA VIONGOZI MBALIMBALI, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Ndugu Martin Chungong, tarehe 27 Februari, 2026 Ikulu, Jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Balozi wa Singapore nchini Tanzania Mheshimiwa Douglas Foo, tarehe 27 Februari, 2026 Ikulu, Jijini Dar es Salaam.

Pamoja na mambo mengine mazungumzo hayo yalilenga kuimarisha Uhusiano baina nchi hizi mbili haswa katika masuala ya teknolojia,elimu, afya na miundombinu 


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Balozi wa Singapore nchini Tanzania Mheshimiwa Douglas Foo, tarehe 27 Februari, 2026 Ikulu, Jijini Dar es Salaam.

: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kizungumza na Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika Profesa Mohamed Y. Janabi, tarehe 27 Februari, 2026 Ikulu, Jijini Dar es Salaam. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja  na Mkurugenzi wa Taasisi isiyo ya Kiserikali la Doris Mollel Foundation, Bi. Doris Mollel, tarehe 27 Februari, 2026 Ikulu, Jijini Dar es Salaam. 

: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kizungumza na Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika Profesa Mohamed Y. Janabi, tarehe 27 Februari, 2026 Ikulu, Jijini Dar es Salaam.

 





 

Post a Comment

0 Comments