Menu

Wednesday, May 18, 2011

BALOZI SEIF AKUTANA NA DK WILLIAM SHIJA


Katibu Mkuu  wa  chama cha mabunge ya Jumuiya ya Madola Dk. William Shija  akifafanua  jambo wakati  wa  mazungumzo yake na makamu wa pili  wa rais wa  zanzibar  Balozi  Seif Ali  Iddi alipotembelewa  ofisini  kwake, katika mzungumzo yao Balozi Seif amesema serikali  ya umoja wa  kitaifa  Zanzibar  imekuja kuondoa uhasama  uliokuwepo  miongoni  mwa  jamii.
Baozi Seif Iddi akipiga picha ya pamoja na Dk William Shija.

Picha na Abdulla Ali Abdulla. Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais

No comments:

Post a Comment