Menu

Monday, May 9, 2016

Waziri wa Habari, Utalii na michezo akutana na watendaji wa Wizara kisiwani Pemba


Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mheshimiwa  Rashid Ali Juma, akizungumza na Watendaji wa Wizara ya Habari Utamaduni Utalii na Michezo-Kisiwani Pemba humo katika ukumbi wa Kiwanja cha michezo Gombani Kisiwani humo.

Picha na Bakar Mussa -Pemba.

No comments:

Post a Comment