Menu

Saturday, September 23, 2017

Bangi yakamatwa bandari ya Mkoani

 Madawa ya Kulevya yanayosadikiwa kuwa ni Bangi  yaliokamatwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Pemba katika Bandari ya Mkoani Kisiwani humo  , na Abiria aliekuwemo katika Meli ya Azam 11, ikitokea Unguja hapo

jana.

 Madawa  ya kulevya yanayosadikiwa kuwa ni Bangi , ikimiminwa na Askari wa Jeshi la Polisi kwenye meza ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini ,Shekhan Moh'd Shekhan.

Mfuko ambao ulihifadhiwa Madawa hayo yanayosaidikiwa ni Bangi , ambayo yalikamatwa Mkoani Pemba , na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Pemba.


PICHA NA ZUHURA JUMA.

No comments:

Post a Comment