Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said akiwa katika picha ya pamoja na Wanafunzi wa Skuli ya Msingi Bungi wakati wa hafla ya kukabidhi matofali na vifaa vya ujenzi kwa ajili ya ujenzi wa madarasa ya skuli hiyo hafla hiyo imefanyika katika viwanja skuli hiyo, wakifurahia na Mwakilishi wao.amekabidhi vifaa vya shilingi milioni Sita.kwa ajili ya kukamilisha jengo la skuli.
No comments:
Post a Comment