Menu

Thursday, January 25, 2018

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli Azungumza na Kuagana na Balozi wa Zimbabwe Nchini Ailiyemaliza Muda Wake

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimlaki Balozi wa Zimbabwe aliyemaliza muda wake nchini Mhe. Edzai A.C. Chimonyo aliyefika kumuaga rasmi Ikulu jijini Dar es salaam leo Alhamisi Januari 25, 2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na Balozi wa Zimbabwe aliyemaliza muda wake nchini Mhe. Edzai A.C. Chimonyo aliyefika kumuaga rasmi Ikulu jijini Dar es salaam leo
 Picha na Ikulu.

No comments:

Post a Comment