Kwa Habari, Picha na Matukio Tembelea ZanziNews
Tangaza nasi kwa bei nafuu (advertise with us ). Tupigie 0777 424152 au tuandikie (email) othmanmaulid@gmail.com
Menu
▼
Monday, July 27, 2020
Wananchi Jimbo la Mtoni Jijini Zanzibar Wajitokeza Kuchukua Vitambulisho Vya Kupiga Kura Kituo cha Betras
Wananchi wa Jimbo la Mtoni Jijini Zanzibar wakiwa katika viwanja vya Chuo Cha SUZA Betras Jijini Zanzibar, wakiwa katika zoezi la kuchukua Vitambulisho vyao vipya vya kupigia kura Zanzibar.
No comments:
Post a Comment