Kwa Habari, Picha na Matukio Tembelea ZanziNews
Tangaza nasi kwa bei nafuu (advertise with us ). Tupigie 0777 424152 au tuandikie (email) othmanmaulid@gmail.com
Menu
▼
Saturday, August 22, 2020
Watanzania waliohitimu udaktari Cuba waanza kurudi nchini
Kundi la kwanza la Watanzania waliohitimu udaktari nchini Cuba linasafiri leo kurejea nchini. Watasafiri na ndege maalum ya Ufaransa hadi Paris, baadaye na Ethiopia Airline hadi Dar. Kundi la pili litasafiri tar. 4 Sept. 2020. Wahitimu hao walikwama Cuba kwa sababu ya Corona.
No comments:
Post a Comment